GAVANA WA BENKI KUU PROF. BENNO NDULU ATOA MAONI KUHUSU KATIBA MPYA

1.
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Benno Ndulu (kulia)) akibadilishana mawazo na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, kutoka kulia Joseph Butiku, Prof. Mwesiga Baregu (katikati), na Dkt. Sengondo Mvungi mara baada yakumaliza kutoa maoni.
2.
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Profesa Benno Ndulu (kulia) akibadilshana mawazo na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba
 
PICHA KWA HISANI YA FULL SHANGWE

No comments

Powered by Blogger.