MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AFUNGUA MKUTANO WA KANDA WA MASHAURIANO WA BARAZA LA VIJANA WA JUMUIYA YA MADOLA .
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma
hotuba yake wakati akifungua Mkutano wa Mashauriano wa Kanda wa Baraza la Vijana wa Jumuiya ya Madola uliofunguliwa leo.
Naibu
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara,
akizungumza wakati wa Mkutano wa Mashauriano wa Kanda wa Baraza la Vijana wa Jumuiya ya Madola leo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel.
Baadhi
ya washiriki wa mkutano huo wakimsikiliza kwa makini leo, katika Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya washiriki wa mkutano huo wakimsikiliza Makamu wa Rais, katika Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa
katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano huo, wanaowakilisha makundi
mbalimbali ya vijana, katika Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiagana na Mkurugenzi wa Maendelea ya Vijana wa Wizara ya Habari,
Vijana Utamaduni
na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel na kushoto ni Naibu
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara.
PICHA KWA HISANI YA SOFIANI MAFOTO
Post a Comment