PICHA ZA MAZISHI YA MAREHEMU SAJUKI HUKO KISUTU LEO
Jeneza
lililobeba Mwili wa Marehemu Sadick Juma Kilowoko (SAJUKI) likiwasili
kwenye Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam mchana huu tayari kwa
Mazishi yaliyoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh.
Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na baba mzazi wa marehemu Sajuki
wakati wa mazishi ya msanii huyo leo katika makaburi ya Kisutu jijini
Dar es salaam
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la marehemu Sadick Juma Kilowoko 'Sajuki' leo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka
udongo kwenye Kaburi la Marehemu Sadick Juma Kilowoko (SAJUKI) wakati wa
Mazishi yake yaliyofanyika mchana kwenye Makaburi ya Kisutu,Jijini
Dar es Salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na baba mzazi wa marehemu Sajuki
wakati wa mazishi ya msanii huyo leo katika makaburi ya Kisutu jijini
Dar es salaam
Jeneza lililobeba Mwili wa
Marehemu Sadick Juma Kilowoko (SAJUKI) likiwasili kwenye Makaburi ya
Kisutu jijini Dar es Salaam mchana huu tayari kwa Mazishi yaliyoongozwa
na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania,Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kwenye Kaburi la
Marehemu Sadick Juma Kilowoko (SAJUKI) yaliyofanyika mchana huu kwenye
Makaburi ya Kisutu,Jijini Dar es Salaam.
Wakazi wa Jiji La Dar Wakifukia Kaburi la aliyekuwa Msanii wa Bongo Movie Juma Kilowoko maarufu kama SAJUKI
Sehemu ya waliohudhuria msiba wa Sajuki katika makaburi ya Kisutu
Wadau mabali mbali wakisubiria mwili wa Marehemu Sajuki, huku Profesa Jay akionekana kwa mbali miongoni mwa wanaousubiri mwili.
Umati wa watu ukiwa makaburini Kisutu Dar
Post a Comment