MSANII WA BONGO FLAVA 'TIMBULO' AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HUKO BURUNDI.
Msanii wakizazi kipya, anae ondoka na mitindo ya bongo flava Ally TIMBULO
kuna tetesi zinasema kuwa amekamatwa na dawa zakulevya Mjini Bujumbura
Habari zinadai kwamba Msanii huyo alikuwa na mpango waku endesha tamasha Mjini Bujumbura mwezi wa 4
baada ya maombi lukuki ya washabiki wake Mjini Bujumbura/nchini Burundi .Kuna tetesi kuwa msanii wa Bongo flava maarufu kwa jina la
Timbulo, ambaye amepata umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wa kuimba katika
nyimbo zake kadhaa kama Domo
Langu, Waleo Wakesho, Samson na Delilah, amekamatwa mjini Bujumbura kwa tuhuma
za kukutwa na madawa ya kulevya. Timbulo alikuwa huko katika kufanya mipango ya
kufanya maonyesho kadhaa nchini Burundi mwezi April mwaka huu
Post a Comment