WEMA SEPETU ANG'OA MENO
CEO wa Endless Fame Films Wema Sepetu
amelazimika kujisamilisha kwa daktari wa meno baada ya ulaji wa
chocolate kumponza na hivyo kuozesha baadhi ya meno yake.
Kupitia Instagram, Miss Tanzania huyo wa zamani, ameshare picha akiwa kwenye clinic ya meno kung’oa jino lililokuwa likimsumbua. Kwa waliowahi kuumwa na jino wanaujua muziki wake, so get well soon Wema.
Kupitia Instagram, Miss Tanzania huyo wa zamani, ameshare picha akiwa kwenye clinic ya meno kung’oa jino lililokuwa likimsumbua. Kwa waliowahi kuumwa na jino wanaujua muziki wake, so get well soon Wema.
Post a Comment