YALIYOJIRI KWENYE MAZISHI YA JAJI MSTAAFU E.L. MWAIPOPO
Mh Jaji kiongozi mahakama kuu Fakih Jundu akitoa salamu.
Mpiganaji
wa Mjengwa Blog na Kwanza Jamii, Lukelo Mkami Mwipopo ambaye ni mtoto wa
mdogo wa Marehemu, Marehemu Ben Mkami Mwipopo akisalimiana na watoto
wa marehemu mara baada ya mwili wa marehemu kuwasili kijijini Ibatu
wilayani Mufindi tayari kwa mazishi
Mjane wa marehemu Jaji mstaafu akifarijiwa ndugu zake walipo wasili na mwili wa Marehemu Kijijini Ibatu
Mmoja wa majaji walioshiriki mazishi akiaga kwa mwili wa marehemu
Askari
wakitoa heshima mbele ya kwa kupiga risasi ewani baada ya kukamilisha
kuweka mwili wa marehemu kwenye nyumba yake ya milele
Waheshimiwa majaji wakitoa jeneza la Marehemu tayari kwenda kusaliwa katika eneo liliondaliwa kwa ibada
Sehemu ya watu walioshiriki ibada ya kumuombea marehemu
Katibu mkuu kiongozi mstaafu Philemon Luhanjo(kushoto) akifuatilia misa ya kumuombea marehemu
Historia Fupi ya Marehemu
Marehemu alizaliwa 6 oct-1946 kijiji cha Ibatu kata ya Igowole Tarafa ya kasanga Wilaya ya Mufindi Mkoa wa Iringa.
Elimu ya awali 1-3 malangali centra.
111-1V- Shule ya msingi ihanga Malangali 1956-1957
1958-1962, aliendelea na masomo ya Darasa la v-111.
1963-1966, secondary 1-1V, Rungwe alliance Tukuyu Mbeya.
1967-1968 , secondary V-V1- Ilboru Lutherani Arusha.
Chuokikuu Dar es salaamu Shahada ya Sheria (LL.B) 1969- 1972.
Ajira serikalini machi 1972. State Attorney.
1975-1977 wakili wa serikali ofisi ya mwanasheria wa serikali.
Aliteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama kuu julai 1991 na 1994 na 1999 alikuwa jaji mfawidhi Mahakama kuu kanda ya Mbeya.
1999-2007
alikuwa mwenyekiti wa Mahakama ya kazi na 2007 tena aliteuliwa kuwa
Jaji Mfawidhi Mahakama kuu Mpaka alipo staafu 06-oct 2010.
Aliteuliwa kuwa kamishna wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania kazi aliyoifanya mpaka mauti yanamkuta.
Mpaka
alipopata ajali ya Gari Tar 03 Apr 2013. majira ya saa saba mchana eneo
la Doma akitokea Iringa kuelekea Dar na kufariki Dunia .
Uongozi wa PAMOJAPURE BLOG unaungana na familia ya marehemu Katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wao Jaji Mstaafu E.L Mwipopo
Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina lake Lihimidiwe.
PICHA NI KWA HISANI YA MJENGWA
Post a Comment