YALIYOJIRI KWENYE MECHI ZA BLOGGER NA TIMU NYINGINE LEO KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB
Hiki ndicho kikosi cha Blogger FC kilichotoa furaha kwa mashabiki wake
Mchezaji wa Blogger FC Jonathan Tito akibishana na mchezaji wa timu pinzani ya DSJ
Wachezaji wa timu ya Blogger wakiwa wamepumzika
Goli kipa Othuman Michuzi akitaka kudaka mpira
Mchezaji wa Blogger FC, Zuberi akizungumza neno na kituo cha television cha ITV
Mmiliki wa Blog ya Pamoja Pure akizungumza neno na wachezaji wa Blogger FC katiaka viwanja vya Leaders Club
Wachezani wa Blogger wakishangilia ushinda baada ya kuifunga DSJ 3 kwa 2 katika viwanja vya Leaders Club leo
Post a Comment