POLISI JIJINI DAR WAKAMATA WATU WAWILI WAKIWA NA BASTOLA KATIKA PIKIPIKI


Askari kanzu (kulia) akiwa ameshika bastola aliyokutwa nayo mtu mmoja aliyekuwa amepakiwa katika pikipiki aina ya Boxer yenye namba za usaji T 961 CJW katika mtaa wa Makunganya jirani kabisa na benki ya Posta jijini Dar es Salaam mchana huu. Kutokana na kuongezeka kwa matukio ya ujambazi wa kutumia pikipiki Polisi wameimarisha ulinzi na hasa katika maeneo ya mabenki. 
<
 Watu waliokamatwa wakijaribu kuwasiliana na ndugu zao.
 Neno kwenye Pikipiki waliyokuwa wakitumia hao. 
Endelea kusoma habari hii kwa kubofya hapa chini


 Ofisa wa Polisi akijaribu bastola waliyokutwa nayo watu wawiliwaliokuwa katika Pikipiki Posta Mpya jirani na Benki ya Posta leo.
 Heee ina risasi!
 Mtu aliyekutwa  na bastola hiyo, ambaye alijitambulisha kama mfanyabiashara.
 Polisi wakifanya mawasiliano na wenzao wa doria kuomba msaada wa gari.
 Mtuhumiwa aliyekutwa na bastola akihojiwa na kuchukuliwa maelezo.
 Dereva wa Pikipiki naye akichukuliwa maelezo yake.
Ofisa wa Polisi akimuhoji mtuhumiwa.

No comments

Powered by Blogger.