YALIYOJIRI BUNGENI DODOMA LEO

Mbunge wa Nkenge, Asumta Mshama (kushoto) akizungumza na Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shellukindo kwenye viwanja vay Buge Mjini Dodoma Juni 25,2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Busega, Dr. Titus kamani, Bungeni Mjini Dodoma Juni 25,2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 25, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shellukindo kwenye viwanja vya bunge Mjini Dodoma Juni 25,2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na madiwani kutoka jimbo la Chilolo mkoani Iringa kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 25, 2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).


No comments

Powered by Blogger.