COCACOLA WAMCHUKULIA DIAMOND PLATNUMZ ‘PRIVATE JET’ KUTOKA NAIROBI HADI DAR


Baada ya tukio la moto la leo kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta, JKIA jijini Nairobi, Kenya, lililosababisha uwanja huo kufungwa kwa muda na kumfanya Diamond Platnumz aliyetua alfajiri ya leo akitokea Afrika Kusini kukwamwa, Cocacola imemchukulia ndege binafsi itakayomleta Dar es Salaam.
Kupitia Instagram, Diamond ameshare picha wakati akipenda kwenye ndege hiyo ambamo atakuwa peke yake na rubani.
“Had no choice than dat, coz i miss my mum and Baby lyk crazy… @ Wilson Airport Nairobi… can’t wait to see you @rommyjones #I #MySelf #AloneInTheJet #CocaBoy …. #Cocacola Mmetisha sana, asanteni sana,” ameandika.

Endelea kusoma habari hii kwa kubofya hapa chini



Diamond ni balozi wa Cocacola.
Hizi ni bei za kukodi ndege binafsi nchini Kenya.
Air Charter Rates at HKNW
Turbo-Props: $1,200 – $1,800/hr
Light Jets: $1,900 – $2,650/hr
Mid-size Jets: $2,700 – $3,400/hr
Large Jets: $3,600 – $7,800/hr



BONGO 5

No comments

Powered by Blogger.