TAZAMA PICHA ZA UFOO SARO AFANYIWA UPASUAJI WA KUONDOLEWA RISASI MWILINI ALAZWA WODI 12 YA KIBASILA.

 Ufoo Saro baada ya kufanyiwa upasuaji huo.
 Muuguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), akimpeleka wodini Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufo Saro,  baada ya kufanyiwa upasuaji wa kuondolewa risasi kufuatia kushambuliwa kwa silaha ya moto nyumbani kwa mama yake  Kibamba jijini Dar es Salaam leo na mtu aliyedaiwa ni mchumba wake ambaye pia alimuua mama yake na kisha kujiua.
 
 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI
 
 Wanahabari wakimpiga picha Ufoo Saro baada ya kuondolewa chumba cha upasuaji.
Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakimsindikiza Ufoo Saro wakati akipelekwa wodini.
 
(Imeandaliwa na www.mwaibale.blogspot.com)

No comments

Powered by Blogger.