YALIYOJIRI KWA PICHA KWENYE TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 JIJINI DAR
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Lina na Amin wakilishambulia jukwaa la Serengeti Fiesta 2013 jijini dar usiku wa kuamkia leo
Amini akiwa kwa stage na Barnaba
Recho pamoja na madansa wake wakiwapagawisha mashabiki kwenye Tamasha la Seregeti Fiesta 2013 lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Recho akiwa na Mwanadada Ray C baada ya kupotea muda mrefu kwenye jukwaa la Fiesta
Prezidaa wa Bendi ya Malaika, Christian Bella akiwapagawisha mashabiki kwenye Serengeti Fiesta 2013 iliyofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Snura 'Mamaa Majanga' akionyesha mbwembwe zake jukwaani.
Shilole akiwapagawisha mashabiki kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 lillofanyika kwenye viwanja vya Leader Club
Recho akiwa na Mwanadada Ray C baada ya kupotea muda mrefu kwenye jukwaa la Fiesta
ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI
Prezidaa wa Bendi ya Malaika, Christian Bella akiwapagawisha mashabiki kwenye Serengeti Fiesta 2013 iliyofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Snura 'Mamaa Majanga' akionyesha mbwembwe zake jukwaani.
Shilole akiwapagawisha mashabiki kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 lillofanyika kwenye viwanja vya Leader Club
Umati mkubwa wa watu ukifuatilia shoo ya Fiesta 2013 iliyofanyika usiku wa kuamkia lea kwenye viwanja vya Leaders Club
Umati mkubwa wa watu ukifuatilia shoo ya Fiesta 2013 iliyofanyika usiku wa kuamkia lea kwenye viwanja vya Leaders Club
Msanii Hamis Baba 'H-Baba' akiwapagawisha mashabiki waliofurika katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 ndani ya Viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam.
Umati mkubwa wa watu ukifuatilia shoo ya Fiesta 2013 iliyofanyika usiku wa kuamkia lea kwenye viwanja vya Leaders Club
Umati mkubwa wa watu ukifuatilia shoo ya Fiesta 2013 iliyofanyika usiku wa kuamkia lea kwenye viwanja vya Leaders Club
PICHA NA AHMAD MICHUZI
Post a Comment