LIVERPOOL YAKARIBIA USHINDI WA LIGI
Liverpool
ndio washindi watarajiwa wa ligi ya Uingereza baada ya Kuishinda
Norwich City mabao matatu kwa mbili katika mechi iliyochezwa wikendi.
Kwa sasa Timu ya Liverpool iko na pointi tano zaidi, wakiwa wangali wana mechi kadhaa za kucheza ikiwemo ile ya Chelsea.
Japo Chelsea wamesalia katika nafasi ya pili walishindwa kujiimarisha hapo jumapili na kusababisha kuwepo kwa mwanya huo mkubwa baada ya kushindwa na timu ya Sunderland kwa mabao mawili dhidi ya lao moja.
Timu ya Sunderland ndio iliyo ya mwisho kabisa katika orodha.
Kwa sasa Timu ya Liverpool iko na pointi tano zaidi, wakiwa wangali wana mechi kadhaa za kucheza ikiwemo ile ya Chelsea.
Japo Chelsea wamesalia katika nafasi ya pili walishindwa kujiimarisha hapo jumapili na kusababisha kuwepo kwa mwanya huo mkubwa baada ya kushindwa na timu ya Sunderland kwa mabao mawili dhidi ya lao moja.
ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI
Timu ya Sunderland ndio iliyo ya mwisho kabisa katika orodha.
Ilimbidi
mkufunzi wa Chelsea Jose Mourihno kuipongeza Sunderland pamoja na refa
aliyeendesha mechi ile ingawa kwa kinaya kwani ilikuwa ni kama
kumtoneshea kidonda hasa baada ya ile faini aliyopigwa baada ya
kupatikana na kosa la kumkaripia refa katika mechi ambapo alihisi
ameonewa.
Post a Comment