PICHA: SIMBA AVAMIA GARI LA WATALII NCHINI NAMIBIA
Vipo
vingi vya kuviletea mazoea, lakini sio simba ndugu yangu, hata
wataalamu wa masula ya wanyama wanasema nidhamu ni kitu muhimu unapokuwa
ndani ya hifadhi.
Sasa
watalii kadhaa waliona wanaweza kujiachia tu na kumchokoza simba
kilichowakuta sidhani kama watarudia tena.
Nisiseme sana shuhudia simba wa jangwani alivyowavamia watalii hawa huko Namibia
ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI
Post a Comment