RAIS JAKAYA KIKWETE AFANYA ZIARA MKOANI KILIMANJARORAIS JAKAYA KIKWETE AFANYA ZIARA MKOANI KILIMANJARO


Waziri wa maji Prof Jumanne Maghembe akiteta jambo na Niabu Meya wa manispaa ya Moshi Dk Mmbando ikulu ya mjini Moshi.
Viongozi mbalimbali wa chama na serikali wakijiandaa kumpokea rais Kikwete alipowasili mjini Moshi.
 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI
 
Rais Kikwete akiwasili ikulu mjini Moshi akipokelewa na mwenyeji wake mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama pamoja na mkuu wa wilaya ya Moshi Ibrahim Msengi.


Rais Kikwete akisalimiana na baadhi ya viongozi pamoja na wananchi waliofika ikulu ya Moshi.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akizungumza mara baada ya rais kuwasili ikulu mjini Moshi kwa ajili ya ziara wilayani Mwanga .


Baadhi ya wageni mbalimbali wakiwemo viongozi wa chama na serikali.
Baadhi ya wanannchi wakiwemo makada wa chama cha mapinduzi wakiwa Ikulu ya Moshi kungojea rais Jakaya Kikwete.
Baadhi ya wageni wakisalimiana
Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi Liberatus Sabas akiteta jambo na mkuu wa chuo cha taaluma ya polisi Moshi ,Matanga Mbushi. Picha Na Dixon Busagaga

No comments

Powered by Blogger.