AISHA BUI SASA KUJA NA FILAMU YAKE MPYA IITWAYO "MSHALE WA KIFO"
Aisha Bui ndio
msanii wa kike anaejitambua baada ya kuamua kufanya filamu zake na kuona
kushirikishwa inachukua muda ndipo akaanza ku produse filamu zake mwenyewe hivi
karibuni anakuja na "mshale wa kifo" ambayo amemshirikisha gabo.
Post a Comment