MTU MMOJA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI MOROGORO

Hili ni gari la Noah lililopata ajali jana usiku wa saa 8 huko Morogoro Mtaa wa Mazimbu reli ya pili likiwa na vijana wanne ambapo mmoja wao kaaga dunia.
Hii ni nguzo iliyogongwa na gari hilo mara baada ya kuhama njia.

ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI


Sehemu ya ubavu wa kulia wa gari hilo ukiwa umeharibika vibaya.
Upande wa kushoto wa gari hilo

No comments

Powered by Blogger.