CRISTIANO RONALDO AWA MCHEZAJI BORA ULAYA

 Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo akibusu tuzo yake ya Mwanasoka Bora wa Ulaya baada ya kukabidhiwa usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa.
 Cristiano Ronaldo akifurahia.
Wachezaji wa Bayern Munich, kipa Mjerumani Manuel Neuer (kushoto) na winga Mholanzi Arjen Robben (kulia) pamoja na Ronaldo (katikati) akifurahia baada ya kushinda tuzo hiyo.

No comments

Powered by Blogger.