HAKIKISHA UNAWEZA KUJIBU MASWALI HAYA KABLA YA KWENDA KWENYE USAILI (INTERVIEW)

1.Tuelezee kuhusu wewe kwa ujumla (tell us about yourself)

2.Mipango gani umejiwekea kwenye maisha yako? Na umefanya nini kuitimiza?

3. Kwanini Tukuajiri wewe na sio mtu mwingine? (waelezee uwezo wako).

4 Kwa nini unaitaka nafasi/kazi hii? Na kwa nini unaacha nafasi/kazi uliyokuwa nayo?
 (usianze kumkandia mwajiri wako aliyepita kama uliajiriwa)

5 Ni Kipindi gani kigumu ulichowahi kukumbana nacho, na ulifanya nini kukikabili?

6. Tueleze Uwezo na udhaifu wako

ENDELEA KUSOMA MAKALA HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI

7. Unapenda Kufanya kazi katika mazingira ya aina gani?

8. Unafanyaje kukabiliana na “Stress” na kufanya kazi kwa shinikizo?

9 Unaifahamu vipi kampuni yetu?

10. Ni makosa gani Umeshawahi kuyafanya na  unayajutia kwa kiasi fulan? (mtego)

NB: Kumbuka unaweza pia kupewa nafasi ya kuuliza swali lolote hivyo ni vema na wewe ukajiandaa kwa hilo.

NA KUMI MUHIMU


No comments

Powered by Blogger.