HAKIKISHA UNAWEZA KUJIBU MASWALI HAYA KABLA YA KWENDA KWENYE USAILI (INTERVIEW)
1.Tuelezee kuhusu wewe kwa ujumla (tell us about yourself)
2.Mipango gani umejiwekea kwenye maisha yako? Na umefanya nini
kuitimiza?
3. Kwanini Tukuajiri wewe na sio mtu mwingine? (waelezee uwezo
wako).
4 Kwa nini unaitaka nafasi/kazi hii? Na kwa nini unaacha
nafasi/kazi uliyokuwa nayo?
(usianze kumkandia mwajiri wako aliyepita kama uliajiriwa)
5 Ni Kipindi gani kigumu ulichowahi kukumbana nacho, na ulifanya
nini kukikabili?
6. Tueleze Uwezo na udhaifu wako
ENDELEA KUSOMA MAKALA HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI
ENDELEA KUSOMA MAKALA HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI
7. Unapenda Kufanya kazi katika mazingira ya aina gani?
8. Unafanyaje kukabiliana na “Stress” na kufanya kazi kwa
shinikizo?
9 Unaifahamu vipi kampuni yetu?
10. Ni makosa gani Umeshawahi kuyafanya na unayajutia kwa
kiasi fulan? (mtego)
NB: Kumbuka unaweza pia kupewa nafasi ya kuuliza swali lolote
hivyo ni vema na wewe ukajiandaa kwa hilo.
NA KUMI MUHIMU
NA KUMI MUHIMU
Post a Comment