SOUTHERN AFRICAN FASHION SHOW YAFANYIKA KWA KISHINDO

Washereheshaji wakifanya vitu vyao kwenye usiku wa onesho la mavazi kutoka kwa wanamitindo na wabunifu mbalimbali kutoka nchi kusini mwa Afrika wakiwemo wabunifu wawili Watanzania waliopendezesha maonesho hayo.
 
Juu na chini ni bendera kutoka nchini za kusini mwa Afrika zikipita kwenye ufunguzi wa maonesho hayo yaliyofanyika siku ya Ijumaa Aug 29, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani.

ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI


kwa picha zaidi bofya hapa

No comments

Powered by Blogger.