AJALI YATOKEA MKOANI MOROGORO BAADA YA LAND CRUSER KUGONGANA NA SCANIA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

 Gari aina ya Land Cruser lenye namba za usajili T 985 CYZ  ambayo ni mali ya chama cha CCM likiwa limeharibika upande wa mbele baada ya kugongana na roli la mizigo mkoani Morogoro. Pia katika ajali hii hakuna mtu aliyefariki.
 Wasamalia wema wakilitoa gari dogo barabarani kwa ajili ya kuondoa foleni iliyokuwepo eneo hilo

PICHA NA CCM BLOG

No comments

Powered by Blogger.