FIFA YATOA ORODHA YA WACHEZAJI 23 WANAOWANIA BALLON D’OR 2014.

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

Shirikisho la soka duniani FIFA limetangaza majina ya wachezaji 23 wanaowania tuzo ya FIFA ya Ballon d’Or mwaka 2014.

Wachezaji sita wa Ujerumani waliocheza Kombe la dunia wametajwa, na kufanya iwe nchi yenye wawakilishi wengi kwenye orodha hiyo. Wachezaji hao wa Ujerumani ni Philipp Lahm, Mario Gotze, Toni Kroos, Thomas Muller, Manuel Neuer na Bastian Schweinsteiger.
Cristiano Ronaldo anayeshikilia tuzo hiyo na mshindi mara nne Lionel Messi wapo tena katika mchakato huo
ORODHA YA WACHEZAJI 23 WANAOWANIA BALLON d’Or
Gareth Bale (Wales), Karim Benzema (France), Diego Costa (Spain), Thibaut Courtois (Belgium), Cristiano Ronaldo (Portugal), Angel Di Maria (Argentina), Mario Gotze (Germany), Eden Hazard (Belgium), Zlatan Ibrahimovic (Sweden), Andres Iniesta (Spain), Toni Kroos (Germany), Philipp Lahm (Germany), Javier Mascherano (Argentina), Lionel Messi (Argentina), Thomas Muller (Germany), Manuel Neuer (Germany), Neymar (Brazil), Paul Pogba (France), Sergio Ramos (Spain), Arjen Robben (Holland, James Rodriguez (Colombia), Bastian Schweinsteiger (Germany), Yaya Toure (Ivory Coast).

No comments

Powered by Blogger.