PICHA: YALIYOJIRI KWENYE TAMASHA SERENGETI FIESTA 2014 JIJINI DAR ES SALAAM

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Msanii kutoka Nchini Marekani T.I akitoa burudani kwa wakazi wa Jiji la Dar Katika Show ya FIesta iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya Leaders.
Msanii Davido kutoka nchini Nigeria Akiwajibika

Diamond Platnumz akitoa burudani

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI


 Vanessa Mdee
 Dimpoz kwa pozi
 Ommy Dimpoz
 Mashabiki
 Banana
 Young Killa
 Waje kutoka NIgeria
 Mashabiki wakishangweka
 Victoria Kimani akiwajibika
 Rachel Kazini
 Rachel na wakata mauno wake.
 Barnaba
 Shaa na steji shoo wake wakiwajibika
Shaa akikata mauno
Picha zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

No comments

Powered by Blogger.