PICHA: SIMBA NA YANGA ZATOKA SARE YA 0-0

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Askari wa Farasi kutoka Kikosi cha FFU wakiwa katika doria kabla ya kuanza mchezo.  (Picha na Francis Dande)
Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (kulia), akipambana na mshambuliji wa Simba, Elius Maguri (katikati) huku Kelvin Yondani wa Yanga akiwa tayari kutoa msaada wakati wa mchezo namba 27 wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana.


ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI

Kipa wa Yanga Deogratias Munishi akiokoa mpira.
Mshambuliaji wa Simba, Elius Maguri akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Yanga, Oscar Joshua (kulia). 
 Kocha wa Simba, Patrick Phir akiingia uwanjani.
Shabiki wa Simba.
Mashabiki wa Yanga.
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo akiingia Uwanjani.
Waamuzi wa mchezo huo.
 Mashabiki wa Simba wakimpa fedha kipa wa Simba, Manyika Peter baada ya kuokoa hatari nyingi langoni mwake. 

No comments

Powered by Blogger.