SITTI MTEMVU AJIVUA TAJI LA REDD'S MISS TANZANIA 2014


Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.



Kwa mujibu wa habari zilizowekwa katika mtandao wa kijamii wa Face Book Sitti Mtemvu ameamua kujivua Taji la Redd's Miss Tanzania  2014 kutokana na tuhuma  za kudanganya umri. Hata hivyo juhudi za kuwapata viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania kudhibitisha habari hizo zinandelea.

Haya ni maeneo yaliyioandikwa katika akaunti ya Face Book ya Sitti Mtemvu



No comments

Powered by Blogger.