CHADEMA RED BRIGADE WALA KIAPO MWANZA MBELE YA MWENYEKITI WA CHADEMA NA MBUNGE WA HAI FREEMAN MBOWE

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu. 





 Vijana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, al maarufu kama RED BRIGADE, wakila kiapo cha utii, mbele ya Mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe, jijini Mwanza siku ya Jumamosi Februari 28, 2015. Kiapo hicho kinafuatia kukamilika kwa mafunzo ya kiulinzi na usalama kwa vijana hao.


 Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatare (kulia), akisoma taarifa ya mafunzo ya vijana wa chama hicho 'Red Brigade' huku mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe (kushoto) akisikiliza.


ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI




Vijana hao wakila kiapo mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe (kulia).Picha: K Vis blog

No comments

Powered by Blogger.