RATIBA YA KUAGA RASMI MWILI WA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) KESHO JUMATATU TAREHE 2 MACHI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
NA.
|
MUDA
|
TUKIO
|
MHUSIKA
|
1.
|
12:00
- 01:00
|
Familia na Waombolezaji kupata chai nyumbani
|
Kaimu
Katibu wa Bunge
|
2.
|
01:00
- 04:00
|
Misa
ya kuaga mwili wa Marehemu
|
Kanisa
Katoliki,
Parokia
ya Bikira Maria Mpalizwa
|
3.
|
04:00
- 04:30
|
·
Ndugu, Jamaa na Wananchi kuwasili katika
Viwanja vya Karimjee
·
Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa
Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika nafasi zao
|
Katibu
wa Bunge
|
4.
|
04:33
|
Kiongozi
wa Upinzani Bungeni kuwasili
|
Kaimu
Katibu wa Bunge
|
5.
|
04:36
|
Mhe.
Naibu Spika kuwasili
|
Kaimu
Katibu wa Bunge
|
6.
|
04:39
|
Mhe.
Spika kuwasili
|
Mhe.
Naibu Spika
|
7.
|
04:42
|
Mhe.
Waziri Mkuu kuwasili
|
Mhe.
Spika
|
8.
|
04:50
|
Mhe.
Makamu wa Rais kuwasili
|
Mhe.
Spika
|
9.
|
05:00
|
Mhe.
Rais kuwasili
|
Mhe.
Spika
|
10.
|
05:00
|
Mwili
wa Marehemu kuwasili kwa gwaride
maalum la Sergeant-At-Arms
|
Katibu
wa Bunge
|
11.
|
05:00
- 05:15
|
Sala
fupi
|
Kanisa
Katoliki,
Parokia
ya Bikira Maria Mpalizwa
|
12.
|
05:15
- 05:20
|
Wasifu
wa Marehemu
|
Kaimu
Katibu wa Bunge
|
13.
|
05:20
- 05:30
|
Salamu na Rambirambi za Chama cha Mapinduzi (CCM)
|
Katibu
Mkuu, CCM
|
14.
|
05:30
- 05:35
|
Salamu
na Rambirambi kutoka kwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni
|
Kiongozi
wa Upinzani Bungeni
|
15.
|
05:35
- 05:45
|
Salamu
na Rambirambi za Serikali
|
Waziri
Mkuu
|
16.
|
05:45
- 05:55
|
Salamu
na Rambirambi za Uongozi wa Bunge
|
Mhe.
Spika
|
17.
|
05:55
- 06:00
|
Neno la Shukrani toka kwa familia
|
Mwakilishi
wa Familia
|
18.
|
06:00
- 06:15
|
Utaratibu
wa safari
|
Kaimu
Katibu wa Bunge
|
19.
|
06:15
- 07:15
|
Kuaga
Mwili wa Marehemu kulingana na Itifaki
|
MC
|
20.
|
07:15
|
Mwili
wa Marehemu kuondoka uwanjani kuelekea Uwanja wa Ndege
|
MC
|
21.
|
07:20
- 07:25
|
Viongozi
wa Kitaifa kuondoka kulingana na Itifaki
|
MC
|
22.
|
07:40
|
Mwili
wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndege
|
Kaimu
Katibu wa Bunge
|
23.
|
08:00
|
Mwili,
Familia na Waombolezaji kuondoka kuelekea Songea
|
Kaimu
Katibu wa Bunge
|
24.
|
10:00
|
Mwili
wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndge Songea na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa
|
Ofisi
ya Mkuu wa Mkoa
|
25.
|
10:00
- 10:15
|
Mwili
wa Marehemu kuelekea Uwanja wa Majimaji
|
Ofisi
ya Mkuu wa Mkoa
|
26.
|
10:15
- 11:00
|
Mkuu
wa Mkoa kuongoza wakazi wa Ruvuma kuaga mwili wa Marehemu
|
Ofisi
ya Mkuu wa Mkoa
|
27.
|
11:00
- 01:00
|
Mwili
wa Marehemu kuondoka Uwanja wa Majimaji kuelekea Lituhi, Nyasa
|
·
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
·
Kaimu Katibu wa Bunge
|
28.
|
01:00
|
Mwili
kuwasili nyumbani na taratibu za kifamilia kuendelea
|
MC
|
Saa 8 mchana mwili utaelekea airport tayari kwa safari ya Songea. Mazishi yatafanyika tarehe 3/3/2015 kijijini kwake Lituhi.
Post a Comment