WATU 38 WAMEFARIKI DUNIA NA WENGINE 55 WAMEJERUHIWA BAADA YA KUANGUKIWA NA NYUMBA ZAO MKOANI SHINYANGA
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Akithibitisha taarifa hizo kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha alisema maafa hayo yametokea katika kijiji cha Mwakata, kata ya Isaka, wilayani Kahama na kwamba watu wengine 60 wamejeruhiwa vibaya huku mifugo kadhaa, ikiwemo Ng'ombe, Mbuzi na kuku navyo vimekumbwa na maafa. Huenda idadi ya waliokufa ikaongezeka, kwani zoezi la uokoaji linaendelea licha ya changamoto ya kutokuwa na vifaa vya kutosha vya uokozi.
CHANZO: LUKAZA BLOG
Post a Comment