WAZIRI MKUU ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MAAFA YA MVUA SHINYANGA
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Mzee Donald Lubunda ambaye amepoteza watoto wanne katika maafa yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha katika eneo la Mwakata wilayani Kahama Machi 3 usiku. Mheshimiwa Pinda alikwenda kuwapa pole waathirka leo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa pole wanafamilia wa MzeeZakaria Limbe ambao wamepoteza wototo wane katika mafa ya mvua kubwa yenye upepo na mawe iliyonyesha katika eneo la Mwakata Machi 3 usiku. Alikwenda katika maeneo yaliyoathirika leo kuwapa pole wananchi.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipa pole Shoma Petro ambaye ni mmoja wa majeruhi wa maafa yaliyosababishwa na mvua kubwa yenye upepo na mawe iliyonyesha kwenye eneo la Mwakata wilayani Kahama Machi 3, 2015 usiku. Mheshimiwa Pinda alikwenda kwenye hospitali a wilaya ya Kahama kuwapa pole majeruhi waliolazwa hospitalini hapo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana na Waziri wa Nchi Ofisi yaWaziri Mkuu, Jenista Mhagama (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr Rufunga kukagua maeneo yalyoathiriwa na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali na mawe katika eneo Mwakata wilayani Kahama usiku Machi 3, 2015. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Post a Comment