HONGERA SILLAH MBUYA KWA KUMVALISHA PETE YA UCHUMBA ANCILLA MREMA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Mwishoni mwa wiki iliyopita Aprili 18, 2015 ndugu yangu, rafiki yangu Sillah Mbuya aliweza kuonyesha ujasiri wake wa harakati za kukikimbia chama cha makapera baada ya kumvalisha pete ya uchumba mwanadada Ancilla Mrema sherehe zilizofanyika nyumbani kwao wanadada Ancilla ndani ya jijini Mbeya. Pichani tukio linaloendelea ni uvalishwaji wa pete...
Mwanadada Ancilla akionyesha furaha yake baada ya kuvalishwa pete na mumewe mtarajiwa Sillah.

BOFYA HAPA KUTAZAMA TUKIO ZAIDI

No comments

Powered by Blogger.