NDANDA FC YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 3- 0 KUTOKA KWA SIMBA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Ramadhani Singano akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Ndanda FC katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0. (Pichana Francis Dande)
 Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimiliki mpira mbele ya beki wa Ndanda FC.
 Mchezaji wa Ndanda FC akimiliki mpira.
 Wachezaji wa Simba wakishangilia.
Kipa wa Ndanda FC akijaribu kuokoa moja ya hatari langoni mwake.

No comments

Powered by Blogger.