RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NCHINI NZIMA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Ratiba ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
1. Mikoa ya Mtwara na Lindi zoezi lilianza tarehe 24/4/2015 kumalizika 24/5/2015.
2. Mkoa wa Ruvuma uandikishaji ulianza tarehe 27/4/15 hadi 28/5/15.
3. Mkoa wa Iringa zoezi limeanza tarehe 29/4/2015 hadi 29/5/15.
4. Katavi zoezi limeanza tarehe 18/5/2015 hadi 17/6/2015.
5. Mbeya kuanza tarehe 19/5/15 kumalizika 18/6/2015.
6. Dodoma kuanza 19/5/2015 kumalizika 19/6/2015.
7. Rukwa kuanza 18/5/15 hadi 23/6/15.
8. Kigoma, Kagera, Singida na Tabora kuanza 21/5/15 hadi 18/6/2015.
9. Geita, Mwanza, Shinyanga na Simiyu kuanza 2/6/15 hadi 4/7/15.
10. Kilimanjaro, Arusha, Mara na Manyara litaanza 12/6/15 hadi 12/7/15.
11. Morogoro, Pwani na Tanga kuanza 18/6/15 hadi 18/7/15.
12 Zanzibar kuanza 14/6/15 hadi 16/6/15.
13. Dar es salaam kuanza 4/7/15 hadi 16/7/15.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inawaomba wananchi wote wenye sifa kujitokeza kwenda kujiandikisha ili waweze kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

No comments

Powered by Blogger.