UONGOZI WA SOKO LA MCHIKICHINI -ILALA WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA UCHAFU SOKO LA MCHIKICHINI

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Mwenyekiti wa Soko la Mchikichini-Ilala Jumanne Kongogo akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari waliofika katika Ofisi za Soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaam leo,  kuhusiana na wafanyabiashara Walemavu kufunga barabara ambayo inaruhusu magari kutoka na kuingia katika soko hilo, magari ambayo yanatoa huduma katika soko hilo.

Katibu wa soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam John Andrew akionyesha takataka zilivyo lundikana katika eneo la soko la Mchikichini-Ilala baada ya wafanyabiashara kuziba njia inayoruhusu magari kuingia na kutoka nje ya soko hilo, ambapo hata magari yanayochukua uchafu katika soko hilo yanashindwa kufika.kuchukua uchafu huo.
 Mlundikano wa Takataka katika Soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam ambazo zimekuwa kero kwa wafanyabiashara wa eneo hilo. Picha na Emmanuel Massaka.

No comments

Powered by Blogger.