NYALANDU ARUDISHA FOMU ZA WADHAMINI

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (katikati) akiwa na mkewe baada ya kurudisha fomu za wadhamini kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya ya CCM. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, Rajabu Luhavi.
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (katikati) akiwa na mkewe baada ya kurudisha fomu za wadhamini kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya ya CCM. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, Rajabu Luhavi.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (kulia) akirudisha fomu za wadhamini kwa Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, Rajabu Luhavi.

No comments

Powered by Blogger.