HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

MWENYEKITI WA CCM DKT MAGUFULI AFUNGA SEMINA YA WATENDAJI, WENYEVITI NA MAKATIBU WA WILAYA NA MIKOA MJINI DODOMA LEO

  Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na watendaji, Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa Wilaya na Mikoa baada ya kufunga semina yao katika ukumbi w White House mjini Dodoma leo Machi 14, 2017.
 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia watendaji, Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa Wilaya na Mikoa wakati wa kufunga semina yao katika ukumbi w White House mjini Dodoma leo Machi 14, 2017.
Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli  wakati akifunga kufunga semina ya watendaji, Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa Wilaya na Mikoa  katika ukumbi w White House mjini Dodoma leo Machi 14, 2017.


PICHA NA IKULU

MWENYEKITI WA CCM DKT MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM LEO MJINI DODOMA

 Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akipokewa na Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahman Kinana alipowasili Makao Makuu ya CCM, mjiniDodoma leo kuendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Maguguli akiwana Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Philip Mangula (kushoto) kwenye chumba cha mapumziko kabla ya kuanza kikaocha Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma leo. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Zanzibar Vuai Ali Vuai na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein 
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulraman Kinana akishauriana jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma leo. Kulia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idi
 Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akiwa na viongozi wengine wa Chama wakati wakisubiri kuingia ukumbini kwenye kikao cha Kamati Kuu ya CCM,leo mjini Dodoma
 Baadhi ya Maofisa wa Chama wakiwa ukumbini wakati wa kikao hicho
 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Stephen Wasira na William Lukuvi wakipitia makabrasha kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma leo
 Wajumbe wa Sekretarieti wakiwa ukumbi kusubiri kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma
 Wajumbe wa Kamati Kuu Jason Rweikiza (kushoto) na Alhaji Adan Kimbisa wakibadlishana mawazokabla ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM kuanza mjini Dodoma leo
 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Hussein Mwinyi na Jerry Silaa, wakibadilishana ma wazokabla ya kikao hicho kuanza

Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo na Shamsi Vuai Nahodha wakibadilishana mawazo kabla ya kikao hicho kuanza leo mjini Dodoma.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiingia ukumbini
 Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli akiwasili ukumbini kuendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma leo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM-Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara PhilipMangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana

Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Zubeir Ali Maulidikabla ya kuanza kikao hicho. Katikati ni Spika wa Bunge Job Ndugai

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitoa utangulizi kumpa nafasi Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk JohnMagufulikufungua na kuongoza kikaocha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma. Kushoto ni Dk. Shein na Kulia ni Mangula.

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye kikao hicho. Kushoto ni Katibu wa NEC, Oganaizesheni Mohamed Seif Khatib na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai

 Mwenyekiti wa CCM,Rais Dk John Magufuli akiendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk John Magufuli na viongozi wenzake wa meza kuu, wakifurahia jambo wakati wa kikao hicho cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

KINANA AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA HAPA NCHINI LEO

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha ofisini kwake, Balozi wa Uingereza hapa nchini Sarah Cooke, baada ya kufika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya mazungumzo, leo Feb 20, 2017. 
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimuonyesha sehemu ya kuketi, Balozi wa Uingereza hapa nchini Sarah Cooke, baada ya kufika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya mazungumzo, leo.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Balozi wa Uingereza hapa nchini Sarah Cooke, wakifurahia jambo, baada ya kuketi kwa ajili ya kuanza mazungumzo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Feb 20, 2017.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo wakati akizungumza na Balozi wa Uingereza hapa nchini Sarah Cooke, Ofisini kwake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam,  leo Feb 20, 2017.
 Mazungumzo yakiendelea. Kulia ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga ambaye alihudhuria mazungngumzo hayo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiagana na Balozi wa Uingereza hapa nchini Sarah Cooke, baada ya mazungumzo yao, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo Feb 20, 2017. Katikati ni Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali mstaafu Ngemela Lubinga.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpugia mkono wa kwa heri, Balozi wa Uingereza hapa nchini Sarah Cooke, wakati akiondoka katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo Feb 20, 2017. Kulia ni Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali mstaafu Ngemela Lubinga. 

KINANA AKUTANA NA BALOZI WA CHINA LEO

Katibu Mkuu wa CCM, Abdurahman Kinana akimkaribisha Balozi wa China hapa nchini, Dk. Lu Young, alipofika katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya mazungumzo. Kulia ni Katibu wa NEC, Siasa na Ushirikiano wa Kimataifa, Kanali Mstaafu Ngemela Lubinza 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha katika ukumbi wa mazungumzo Balozi wa China hapa nchini Dk. Lu Young, alipowasili katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa China hapa nchini Dk. Lu Young, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam, leo 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtambulisha Katibu mpya wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinza, wakati wa mazungumzo yao, katika Ofisi Ndogo ya Makao makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Saalaam, leo. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO 

MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA TAIFA NEC JIJINI DAR ES SALAAM

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi pamoja na Makamu Mwenyekiti wa (CCM Zanzibar) Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Philip Mangula kabla ya kuanza kikao hicho jijini Dar es Salaam. 
 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa NEC kabla ya kufungua rasmi Kikao hicho jijini Dar es Salaam.
  Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahman Kinana akitoa hotuba yake kabla ya kuanza kwa kikao hicho cha NEC jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya Wajumbe waliohudhuria kikao hicho cha NEC wakifatilia kwa makini Hotuba iliyokuwa ikitolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Sehemu ya Wajumbe waliohudhuria kikao hicho cha NEC jijini Dar es Salaam.

KINANA AONGOZA MAKATIBU WAKUU WA VYAMA VYA UKOMBOZI KUISNI MWA AFRIKA KATIKA ZIARA YA CHINA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.



Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana (Watatu kushoto) akishikana mikono kuonyesha mshikamano na Makatibu Wakuu wa Vyama vya Ukombozi Kusini mwa Afrika, na Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC), Song Tao (wanne kushoto), baada ya kuwawakilisha Makatibu Wakuu hao katika mazungumzo na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya CPC, Liu Yunshan. Kutoka kushoto ni Pedro Sebastiao wa MPLA (Angola, Elisau Joaquim wa FRELIMO (Msumbiji), Waziri wa Mambo ya Nje katika Chama cha Kikomunisti cha China, Song Tao, Gwede Manlashe wa ANC (Afrika Kusini), Nangolo Mbumba wa SWAPO (Namibia), Ignatius Chembo wa ZANU-PF (Zimbabwe). PICHA ZOTE NA OFISIYA KATIBU MKUU WA CCM .

Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Chama Cha kikomunisti cha China (CPC) Ndugu Liu Yunshan, mjini Chongqing, nchini China hivi karibuni. Katika Mazungumzo hayo, Ndugu Kinana aliwawakilisha Makatibu Wakuu kutoka vyama vya Ukombozi Kusini mwa Afrika, ambao alifuatana nao nchini China. 


Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana (Watatu kushoto) akiwa katika kikao na Makatibu Wakuu wa Vyama vya Ukombozi Kusini mwa Afrika, na Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC), Song Tao (wanne kushoto), baada ya kuwawakilisha Makatibu Wakuu hao katika mazungumzo na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya CPC, Liu Yunshan. Kutoka kushoto ni Pedro Sebastiao wa MPLA (Angola, Elisau Joaquim wa FRELIMO (Msumbiji), Waziri wa Mambo ya Nje katika Chama cha Kikomunisti cha China, Song Tao, Gwede Manlashe wa ANC (Afrika Kusini), Nangolo Mbumba wa SWAPO (Namibia), Ignatius Chembo wa ZANU-PF (Zimbabwe).