HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

MAZISHI YA SIR GEORGE KAHAMA JIJINI DAR ES SALAAM

Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi akiweka udongo katika kaburi la Marehemu Sir George Kahama katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam 
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka udongo katika kaburi la Marehemu Sir George Kahama katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
Mjane wa Marehemu Sir George Kahma, Mama Janeth Kahama akiweka udongo katika kaburi la Marehemu Sir George Kahama katika makaburi ya Kinondoni leo Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akiweka udongo katika kaburi la Marehemu Sir George Kahama katika makaburi ya Kinondoni leo Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mwigulu Nchemba akiweka udongo katika kaburi
Marais Wastaafu na wake zao pamoja na viongozi mbalimbali wakiwa katika makaburi ya Kinondoni leo Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa CCM Ndg.Abdulrahman Kinana akiweka udongo katika kaburi la Marehemu Sir George Kahama katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya ndugu wa familia Marehemu Sir George Kahama wakiwa mazishini katika makaburi ya Kinondoni leo jijini Dar es Salaam
Sehemu ya ndugu wa familia Marehemu Sir George Kahama wakiwa katika makaburi ya Kinondoni leo jijini Dar es Salaam
Sehemu ya ndugu, marafiki na jamaa wa familia ya Marehemu Sir George Kahama wakiwa katika makaburi ya Kinondoni leo jijini Dar es Salaam
Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi na wake zake Mama Sitti Mwinyi na Mama Khadija Mwinyi wakiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Sir Georeg Kahama
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua kaburini
Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba na mkewe mama Evelyne Warioba wakiweka shada la maua kaburini
Mawaziri Nape Nnaue ya Mwigulu Nchemba wakiweka shada la maua kaburini
Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana akiweka shada la maua katika kaburi
Jaji Mkuu Mstaafu Mhe. Mohamed Chande Othman akiweka shada ya maua kaburini
Waziri wa Mambo ya Nje Mstafu Mhe. Bernad Membe akiweka shada la maua kaburini
Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Mstaafu Rashid Othman akiweka shada la maua kaburini
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akiweka shada la maua kaburini
Mhe. Andrew Chenge na mkwewe wakiweka shada la maua kaburini
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mohamed Mpinga akiweka shada la maua kaburini
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa mazishini katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Picha zote na Emmanuele Massaka wa Globu ya Jamii.

MARAIS WASTAAFU WA AFRIKA WASHIRKI MKUTANO MKUU WA UONGOZI WA MWAKA 2016 ( AFRICAN LEADERSHIP FORUM) JIJINI DAR LEO

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Baadhi ya Marais Wastaafu wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa na Wadau mbalimbali kwenye mkutano huo Mkuu wa Uongozi wa mwaka 2016 ( African Leadership Forum) ulioanza leo jijini Dar Es Salaam katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro.Mkutano huo utakaodumu kwa siku mbili umewajumuisha wadau mbalimbali wakiwemo Mabalozi wa nchi mbalimbali. PICHA NA MICHUZI JR
Mtoa mada mkuu wa mkutano wa 'African Leadership Forum' Bw. Sipho Nkosi, ambaye ni mfanyabiashara maarufu na Mwenyekiti Mstaafu wa Chemba ya Madini kutoka Afrika Kusini akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano huo. Bw, Nkosi ni bilionea watatu mweusi anayeongoza kwa utajiri Afrika Kusini.
Rais mstaafu wa Afrika Kusini Mheshimiwa Thabo Mbeki akichangia moja ya mada katika Mkutano Mkuu wa Uongozi wa mwaka 2016  ( African Leadership Forum)  ulio anza leo jijini Dar Es Salaam katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro.Mkutano huo utakaodumu kwa siku mbili utawajumuisha wadau mbalimbali wakiwemo Mabalozi wa nchi mbalimbali.
 Rais Mstaafu wa Msumbiji Joachim Chissano akichangia moja ya mada mbalimbali zilizokuwa zikijadiliwa katika mkutano huo Mkuu wa Uongozi wa mwaka 2016  ( African Leadership Forum) wa siku mbili,unaondelea hivi sasa katika hoteli Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro,ambapo Mabalozi kutoka nchi mbalimbali pamoja na Wadau wengine wameshiriki.
Waziri wakuu wa Wastaafu katika awamu mbalimbali nchni Tanzania,pichani kulia ni Mh David Cleopa Msuya,Mh John Samuel Malecela pamoja na Mh.Salim,Ahmed Salim wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye  mkutano  Mkuu wa Uongozi wa mwaka 2016 ( African Leadership Forum) ulioanza leo jijini Dar Es Salaam katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro.Mkutano huo utakaodumu kwa siku mbili umewajumuisha wadau mbalimbali wakiwemo Mabalozi wa nchi mbalimbali.
Baadhi ya wafanyakazi wa taasisi ya UONGOZI walioandaa Mkutano MKuu wa UONGOZI wa 2016 sambamba na Waratibu wa Mkutano huo Kampuni ya MONTAGE wakiwa katika picha ya pamoja mapema leo asubuhi ndani ya hoteli ya Hyatt Kilimanjaro ambako ndiko mkutano huo unafanyika.
Mkutano ukiendelea
Baadhi ya Mabalozi na Wadau wengine wakifuatilia yanayojiri katika mkutano huo unaoendelea hivi sasa ndnai ya hoteli ya Hyatt Kilimanjaro,jijni Dar

MARAIS WASTAAFU NCHI ZA AFRIKA WAWASILI JIJINI DAR KUHUDHURIA MKUTANO MKUU WA UONGOZI WA MWAKA 2016

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.



Rais mstaafu wa Afrika Kusini Mheshimiwa Thabo Mbeki (pichani kulia) akiwasili leo jijini Dar Es Salaam akiwa na Mwenyeji wake Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja,kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Uongozi wa mwaka 2016 utakoanza kesho hapa jijini Dar Es Salaam katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro.Mkutano huo utakaodumu kwa siku mbili utawajumuisha wadau mbalimbali.PICHA NA MICHUZI JR.MMG.
Raisi mstaafu wa Afrika Kusini Mheshimiwa Thabo Mbeki akisalimiana na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania Mh. Thamsanga Dennis Msekelu baada ya kuwasili jijini Dar Es Salaam kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Uongozi wa mwaka 2016 utakoanza kesho hapa jijini Dar Es Salaam katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wa siku mbili.Pichani kati ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja .


Raisi mstaafu wa Afrika Kusini Mheshimiwa Thabo Mbeki akizungumza na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania Thamsanga Dennis Msekelu baada ya kuwasili jijini Dar Es Salaam kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Uongozi wa mwaka 2016 utakoanza kesho hapa jijini Dar Es Salaam katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro.
Rais mstaafu wa Msumbiji, Armando Emilio Guebuza akikaribishwa na baadhi ya wafanyakazi wa taasisi ya UONGOZI mara baada ya kuwasili jijini Dar Es Salaam kuhudhuria mkutano Mkuu wa Uongozi wa mwaka 2016 unaotarajiwa kuanza hapo kesho jijini Dar Es Salaam katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro kwa siku mbili.

Rais mstaafu wa Msumbiji, Armando Emilio Guebuza akikaribishwa na baadhi ya wafanyakazi wa taasisi ya UONGOZI mara baada ya kuwasili jioni ya leo jijini Dar Es Salaam kuhudhuria mkutano Mkuu wa Uongozi wa mwaka 2016 unaotarajiwa kuanza hapo kesho jijini Dar Es Salaam katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro kwa siku mbili.
Rais Mstaafu wa Msumbiji Joachim Chissano akikaribishwa na baadhi ya wafanyakazi wa taasisi ya UONGOZI mara baada ya kuwasili jijini Dar Es Salaam jioni ya leo kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Uongozi wa mwaka 2016 wa siku mbili,utakoanza hapo kesho jijini Dar Es Salaam katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro.Pichani shoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja .