Jackline Wolper – Nataka nirudi shule
By: VIJIMAMBO on June 23, 2017 / comment : 0 Burudani, Elimu, msanii
Rose Muhando Atiwa Mbaroni mkoani Singida kwa Utapeli
By: VIJIMAMBO on June 06, 2017 / comment : 0 Burudani, msanii
Vanessa Mdee adai kuna msanii mkongwe anamchafua
By: VIJIMAMBO on May 04, 2017 / comment : 0 Burudani, msanii
Inasikitisha kwamba mtu ninayemheshimu na kumtambua kwenye hii saana kila kukicha jina langu mdomoni mwake kwa kashfa zisizoeleweka .— VeeMoney #CashMadame (@VanessaMdee) May 3, 2017
Siwezi kujibishana nawewe itakuwa utovu wa nidham baba.— VeeMoney #CashMadame (@VanessaMdee) May 3, 2017
Sipendi maisha ya Ustaa - Madam Flora
By: VIJIMAMBO on April 29, 2017 / comment : 0 Burudani, msanii
MSANII WA BONGO FLEVA 'NILLAN' AMPONDA SHILOLE KWA KUHARIBU SHOW SIKUKUU YA PASAKA
By: VIJIMAMBO on April 23, 2017 / comment : 0 Bongo Flava, Burudani, msanii

MSANII wa Bongofleva anayetamba na kibao cha ‘Njenje’ Gilbert Paul maarufu kama ‘NILLAN’ (pichani kulia) ameponda kitendo kilichofanywa na msanii mkubwa katika tasnia hiyo Zuwena Yusufu ‘Shilole’ cha kuharibu Show iliyotarajiwa kufanyika mkesha wa siku ya mkesha wa Pasaka na hivyo kusababisha hasara kwa promota.
Nillan aliyetarajiwa kufanya show siku pamoja na msanii mwingine Nuhu Mziwanda alisema kitendo kilichofanywa na Shilole siyo cha kiungwana kutokana na heshima kubwa aliyonayo msanii huyo kwa Taifa hili.
“Ukweli kitendo hicho mimi kama msanii chipukizi kimeniumiza sana, sikutaraji kingeweza kufanywa na msanii mkubwa na maarufu kama Shishi, namuheshimu kama dada yangu lakini kwa hili amejishushia heshima” alisema Nillan.
Show hiyo iliyokuwa imeandaliwa na Kampuni ya Merry Merry Entertainment, ilishindwa kufanyika baada ya Shilole kuchelewa kufika ukumbini hali iliyosababaisha mashabiki waliofika mahali hapo kulalamika warudishiwe fedha zao na baadae kuondoka.
Akizungumzia baada ya tukio hilo Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Merry Mussa mbali na kulaani kitendo hicho cha Shilole alisema ni lazima sharia itafuata mkondo wake kwa msanii huyo kulipa hasara yote iliyotokana na kitendo alichokifanya.
“Haiwezekani mtu tukubaliane afike ukumbini saa 2 usiku, yeye anakuja muda anaotaka, na hapo hapo hata kushuka kwenye gari hakushuka, hiyo ni dharau na kamwe sikubaliani na kitendo hicho hata kidogo” alisema Merry.
Shilole aliyetarajiwa kutoa burudani siku hiyo ya mkesha wa Pasaka katika ukumbi wa Heinken uliopo Kijichi, aliwasili ukumbini hapo saa 7 za usiku tofauti na makubaliano na Promota aliyeandaa show hiyo.
Hata hivyo alipotafutwa Shilole kuzungumzia suala hilo alidai kufika ukumbini hapo kama taratibu zilivyo za wasanii kufika kwenye show mbalimbali hivyo haoni kama kuna kosa lolote alilifanya kuhusiana na show hiyo.
Kwa upande wake Nuhu Mziwanda aliyewah kuwa mahusiano na msanii huyo alikwenda mbali na kusema kitendo kilichofanywa na mpenzi wake huyo wa zamani ni ushamba na kumtaka kurudisha fedha alizochukua kutoka kwa promota.
Alisema anashangazwa kwanini Shilole alikubali kupokea fedha hizo na kuahidi kufanya show lakini badala yake akaingia mitini na kuibukia ukumbini muda ambayo show ilipaswa iwe mwishoni.
Akizungumzia suala hilo Meneja wa kampuni ya Ochu Entertainment inayomsimamia msanii Nillan, Felix Mkuya alisema kitendo kilichofanywa na Shilole ni cha kushangaza na hakipaswi kufanywa na wasanii wa hapa nchini.
“Imagine watu wametumia gharama kubwa kuandaa ile Show, kila msanii alishapewa hela yake mkononi, sasa kwanini yeye afanye vile, Nuhu Mziwanda alifika ukumbini mapema saa 12 jioni, alikadhalika kwa Nillan…sasa vipi Shilole afanye vile” alihoji Mkuya.
KALA JEREMIAH AWACHANA WANAOJISIFIA
By: VIJIMAMBO on April 18, 2017 / comment : 0 Bongo Flava, Burudani, msanii
Baraka - Siwezi kuwa na mtu mwenye kasoro
By: VIJIMAMBO on April 18, 2017 / comment : 0 Burudani, msanii
P Funk amuonya Master J kuhusu Harmorapa
By: VIJIMAMBO on April 16, 2017 / comment : 0 Burudani, msanii
Roma apatikana akiwa amejeruhiwa mkono na mguu
By: VIJIMAMBO on April 09, 2017 / comment : 0 Burudani, msanii
Sakata la Roma: Wema Sepetu na Ray watofautiana mitazamo
By: VIJIMAMBO on April 08, 2017 / comment : 0 Burudani, msanii, Wema Sepetu
Maagizo Aliyoyatoa Waziri Nchemba Kwa Polisi Kuhusu Kutekwa kwa Msanii Roma
By: VIJIMAMBO on April 08, 2017 / comment : 0 Habari, msanii, Mwigulu Nchemba
A post shared by Mwigulu Nchemba (@mwigulunchemba) on
Maagizo Aliyoyatoa Waziri Nchemba Kwa Polisi Kuhusu Kutekwa kwa Msanii Roma
By: VIJIMAMBO on April 08, 2017 / comment : 0 Habari, msanii, Mwigulu Nchemba
A post shared by Mwigulu Nchemba (@mwigulunchemba) on
WEMA SEPETU AMJIBU HARMORAPA BAADA YA KUTAKA MAHUSIANO NAYE
By: VIJIMAMBO on April 06, 2017 / comment : 0 Burudani, msanii, Wema Sepetu
ROMA MKATOLIKI NA WENZAKE WAKAMATWA
By: VIJIMAMBO on April 06, 2017 / comment : 0 Burudani, msanii
Rais Magufuli abariki ngoma ya Ney wa Mitego ipingwe redioni/TV
By: VIJIMAMBO on March 27, 2017 / comment : 0 Burudani, Habari, Magufuli, msanii, Rais
MAHAKAMA YAMUONYA AGNESS MASOGANGE
By: VIJIMAMBO on March 22, 2017 / comment : 0 Burudani, Mahakama, msanii
Mh Temba atapeliwa shilingi milioni 100
By: VIJIMAMBO on March 15, 2017 / comment : 0 Bongo Flava, Burudani, msanii
Vanessa Mdee Kaachiwa Kwa Dhamana
By: VIJIMAMBO on March 14, 2017 / comment : 0 Burudani, Madawa ya Kulevya, msanii
Madawa ya Kulevya: Vanessa Mdee ajisalimisha Polisi
By: VIJIMAMBO on March 08, 2017 / comment : 0 Burudani, Habari, Madawa ya Kulevya, msanii
PAMOJA BLOG

WANAOTUTEMBELEA
ZINAZOSOMWA ZAIDI
-
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tati...
-
N a Mwandish wetu, Dar es Salaam. CHAMA cha Mtandao wa Mabloga Tanzania (TBN) kimeshukuru uamuzi wa serikali ya kuwapatia mafunzo maalumu ya...
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha warsha kwa njia ya mtandao pamoja na mafunzo ya ana kwa ana kwa w...
-
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tati...
-
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tati...
-
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tati...
-
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tati...
-
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tati...
-
November 25th is the International Day for the elimination of Violence against women in the world. The 16 days up to December 10th the Huma...
-
Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tati...
BLOGU MARAFIKI
KUMBUKUMBU
HABARI ZINGINE
