HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » DIAMOND YASEMEKANA AIBA WIMBO WA DAYNA NA ANATAKA KUUACHIA HIVI KARIBUNI

DAYNA
Baada ya tuhuma za kuiba wimbo wa H.Baba na Pasha, Nataka kulewa. Msanii Naseeb Abdul Diamond Platnum, ameingia tena ndani ya tuhuma nzito baada ya kusadikiwa wimbo anaotaka kuuachia wa No.1 ni wa Dayna. Inasemekana awali Dayna alimtaka Diamond wakafanye wimbo kwa Shedy, Diamond akakubali, akaskiliza mdundo na kumuahidi Dayna kwamba wangefanya wote. Lakini baadae Diamond akamrubuni Shedy na kumwambia ile bit ampe na aachane na kazi ya Dayna.

Hii ni demo ya wimbo wa Dayna ambao unafanana kila kitu na wimbo wa Diamond anaotaka kuachia. sikiliza na pia waweza kushare na wenzio.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: