headlines

    6:00

HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » DIAMOND YASEMEKANA AIBA WIMBO WA DAYNA NA ANATAKA KUUACHIA HIVI KARIBUNI
VIJIMAMBO

DAYNA
Baada ya tuhuma za kuiba wimbo wa H.Baba na Pasha, Nataka kulewa. Msanii Naseeb Abdul Diamond Platnum, ameingia tena ndani ya tuhuma nzito baada ya kusadikiwa wimbo anaotaka kuuachia wa No.1 ni wa Dayna. Inasemekana awali Dayna alimtaka Diamond wakafanye wimbo kwa Shedy, Diamond akakubali, akaskiliza mdundo na kumuahidi Dayna kwamba wangefanya wote. Lakini baadae Diamond akamrubuni Shedy na kumwambia ile bit ampe na aachane na kazi ya Dayna.

Hii ni demo ya wimbo wa Dayna ambao unafanana kila kitu na wimbo wa Diamond anaotaka kuachia. sikiliza na pia waweza kushare na wenzio.

«
Next
JEURI YA WALIMU:HUNA SH. 200 YA UJI BAKORA
»
Previous
LUKUVI: WABUNGE WENGI WAMO ORODHA YA DAWA ZA KULEVYA

No comments: