Daladala yenye namba ya usajili T 798 ALV ikiwa imegonga pikipiki yenye namba ya usajili T 174 CAP na kusababisha mwanamke aliyekuwa amepanda bodaboda hiyo kuumia vibaya katika barabara ya kuingia kwenye Stendi ya Tabata Segerea.
Madereva wa bodaboda kwenye eneo la stendi ya Segerea wakiwa wamemzunguka Dereva wa daladala baada ya kumgonga mwenzao.
Madereva wa bodaboda kwenye eneo la stendi ya Segerea wakiwa wamemzunguka Dereva wa daladala baada ya kumgonga mwenzao.
ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI
Huu ndio mwonekano wa daladala iliyogonga bodaboda
Baadhi ya wananchi wakiangalia ajali hiyo
Umati wa watu wakiangalia tukio hilo
No comments:
Post a Comment