HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » AJALI YATOKEA TABATA SEGEREA BAADA YA DALADALA KUGONGA BODABODA

Daladala yenye  namba ya usajili T 798 ALV ikiwa imegonga pikipiki yenye namba ya usajili T 174 CAP na kusababisha mwanamke aliyekuwa amepanda bodaboda hiyo kuumia vibaya katika barabara ya kuingia kwenye Stendi ya Tabata Segerea.
Madereva wa bodaboda kwenye eneo la stendi ya Segerea wakiwa wamemzunguka Dereva wa daladala baada ya kumgonga mwenzao.
 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 
Huu ndio mwonekano wa daladala iliyogonga  bodaboda
 
Baadhi ya wananchi wakiangalia ajali hiyo
Umati wa watu wakiangalia tukio hilo

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: