Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), ambaye pia ni
Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya (kulia) akihutubia wakati wa ufunguzi
wa Mkutano Mkuu wa 39 wa Wanahisa kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Hyatt
Regency, Dar es Salaam jana.
Baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni hiyo
Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), ambayepia ni
Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya (kulia) akizungumza na Mkurugenzi
Mtendaji wa kampuni hiyo, Robin Goetzsche.wakati wa Mkutano Mkuu wa 39
wa Wanahisa kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam
jana.
Bodi
ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) ikiongozwa na
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TBL, Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa
Msuya (katikati waliokaa) wakiwa katika picha ya pamoja na wanahisa
baada ya Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa kampuni hiyo kumalizika jana jijini
Dar es Salaam
Chanzo:http://www.mjengwablog.com/
No comments:
Post a Comment