HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » Moto wachoma Magari Matatu Uwanja wa Ndege dar usiku huu

Habari zimetufikia punde kwamba magari matatu yameshika moto Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar usiku huu. Inasemekana moto ulianzia kwenye gari moja aina ya  Range Rover kabla ya kusambaa kwenye magari ya aina ya Toyota na Corolla kabla ya kuzimwa na zimamoto waliofika hapo muda mfupi baadaye. Habari zaidi baadaye.
 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: