HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » UDOM YAPIGWA TAFU NA KAMPUNI YA TIGO KWA MSAADA WA VITABU 300


 Makamu Mkuu Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) Elimu, Utafiti na Ushauri (Katikati) Prof Ludovick Kinabo akiwashukuru wawakilishi wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo Kwa MSaada wa Vitabu hivyo. Pembeni kulia ni Meneja uhusiano na Udhamini wa Tigo Bw Edward Shila na Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Tigo Kanda ya Kati Bi Fadhila Saidi
 Meneja Uhusiano na Udhamini wa Tigo Bw Edward Shila (Katikati) akionyesha maboksi yenye vitabu 300 ambavyo vimetolewa na kampuni ya simu za mikononi za tigo kwa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM).
Naibu Makamu Mkuu wa Elimu, Utafiti na Ushauri wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) Prof Ludovick Kinabo (katikakati) Akipokea msaada wa Vitabu Kutoka Kwa Meneja Uhusiano na Udhamini wa Tigo Bw Edward Shila wakati wa makabidhiano ya Vitabu Hivyo vilivyotolewa na Tigo Chuoni hapo.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: