HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » HABARI MPYA KUHUSU MTOTO JULIANA MWINUKA LEO,,JITOKEZE KUCHANGIA ILI HAWEZE KUTIBIWA


 
HABARI MPYA KUHUSU  MTOTO JULIANA LEO
Habari  za leo kutoka Hospitali ya Muhimbili zinadai hali ya mtoto Juliana Mwinuka kwa  jana na leo imekuwa ya kutia matumaini baada ya kuanza  kula na kunywa dawa na hata kuomba chakula anachokitaka ,pia jicho lake moja  limeanza  kuonyesha dalili ya  kupona huku tatizo kwa  sasa miguu yake hainyoki na yawezekana akaanzishiwa mazoezi  zaidi .hizi ndizo habari mpya  juu ya Juliana Mwinuka.

Mtandao huu unaendelea kuwapongeza wote wanaoendelea kuguswa na kuungana na wadau wengine kumchangia fedha za matibabu ,mtoto Juliana kama anavyoonekana akiwa ameunga uso wake kwa moto ni yatima anahitaji msaada wako ili kunusuru maisha yake waweza kutuma mchango wako kwa njia ya M-PESA katika namba hii 0754 026 299 au Tigo Pesa 0712 750199 namba hizi ni za mmiliki wa mtandao huu http://francisgodwin.blogspot.com wa Bw. Francis Godwin 
 
 Nawaomba tuungane kufanikisha kuokoa maisha ya mtoto Juliana Mwinuka na Mungu atatuongezea zaidi
 
CHAMZO:http://francisgodwin.blogspot.com

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: