HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MWONEKANO WA SERENGETI FIESTA 2012 NDANI YA JIJI LA DAR


Mmoja wa wshindi wa shindano la Serengeti Supa Nyota 2012,Youk Killer akishusha mistari yake nguvi usiku huu,huku shangwe na vigele vigele vikiwa vimetawala.

Mashabiki wakishangweka usiku huu vilivyo.




Mmoja wa wshindi wa shindano la Serengeti Supa Nyota 2012,NeyLee akiimba jukwaani .

Baadhi ya wasanii kutoka nyumba ya vipaji THT wakiamsha amsha usiku huu wakati tamasha la Serengeti Fiesta 2012 likiendelea huku mashabiki na wapenzi wa tamasha hilo wakiendelea kumiminika usiku huu ndani ya viwanja vya Lidaz Club,jijini Dar.
Mmoja wa wasanii chipukizi kutoka kwa THT,akiimba kwa hisia mbele ya umati mkubwa wa watu (haupo pichani),uliojitokeza kushuhudia wasanii wa hapa nyumbani na nje wakitumbuiza katika jukwaa moja usiku huu.
Mmoja wa wasanii chipukizi akinogesha jukwaa la Serengeti Fiesta 2012 usiku huu
  The Wacko Jako wa bongo akifanya vitu vyake jukwaani usiku huu



 Barnaba akitumbuiza hapo
 Mashabiki wakiwa wamejitokeza kwa wingi kushuhudia tamasha hili kubwa la serengeti fiesta 2012 ndani ya viwanja vya leaders usiku huu
  Vijana kutoka THT wakiburudisha jukwaani



«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: