HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » GARI LATEKETEA KWA MOTO NA VIJANA WAIBA SPEA JIJINI DAR

GARIMOTO1 GARIMOTO3 GARIMOTO2 
Baadhi ya vijana wa eneo hilo wakijaribu kukwapua baadhi ya spea za gari hilo wakati likiungua.

GARI aina ya Toyota Starlet lenye namba za usajili T 382 BUN mali ya mwanamke mmoja ambaye hakutaka kutaja jina lake, limeteketea kwa moto muda huu nje kidogo ya ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam zilizopo Ilala – Boma. Kitendo cha ajabu ni kuona vijana waliokuwa eneo hilo baada ya kusaidia kuzima moto usiendelee kuliteketeza gari hilo, walionekana wakiwa ‘busy’ kung’oa baadhi ya spea za gari hilo.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: