MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI ALIPOTEMBELEA ENEO ALILOPIGWA RISASI PADRI MKENDA ZANZIBAR.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi  akiangalia gari ya  Paroko wa Parokia ya Mpendae Padre Ambrose Mkenda ambayo alikuwa akiendesha na kuvamiwa kwa risasi ya watu wasiojuilikana.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akisikiliza maelezo kutoka kwa Uongozi wa Shule ya Francis Maria ya Tomondo Zanzibar ambako Padre Ambrose Mkenda wa Parokia ya Mpendae alijeruhiwa kwa risasi hivi karibuni.
 
  Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akifuatana na Father Shayo wa Kanisa la Roman Katholic liliopo minara miwili baada kuwafariji na kutoa mkono wa pole  kwa uongozi wa huo kufuatia kujeruhiwa kwa Paroko wa Parokia ya Mpendae Padre Ambrose Mkenda.
 
 
PICHA KWA HISANI YA RAHA ZA PWANI

No comments

Powered by Blogger.