Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar akisikiliza maelezo kutoka kwa Uongozi wa Shule ya Francis
Maria ya Tomondo Zanzibar ambako Padre Ambrose Mkenda wa Parokia ya Mpendae
alijeruhiwa kwa risasi hivi karibuni.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
akifuatana na
Father Shayo wa Kanisa la Roman Katholic liliopo minara miwili baada kuwafariji na kutoa mkono wa
pole kwa
uongozi wa huo kufuatia
kujeruhiwa kwa Paroko wa Parokia ya Mpendae Padre Ambrose Mkenda.
PICHA KWA HISANI YA RAHA ZA PWANI
|
Post a Comment