HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » ZAIDI YA ABIRIA 40 WANUSULIKA KUFA KATIKA AJALI YA BASI LA NEW FORCE NA FUSO ENEO LA INYALA PIPE LINE MBEYA

Zaidi ya abiria 40 waliokuwemo kwenye basi la New Force wameponea chupuchupu kufa baada ya basi lao kugongana na Fuso maeneo ya Pipe Liine Inyala  na pia bas la New Force lilikuwa linatokea Mbeya likielekea Dar es Salaam
Mwonekano wa basi la New Force kwa ndani baada ya kupata ajari leo
Hili roli aina ya fuso ndilo lililosababisha ajali hiyo kwani lilikuwa lilikuwalinalipita gari lingine bila ya kuangalia kama gari nyingine inashuka mlima na ndipo lilipokutana na basi hilo
Hii ndiyo hali halisi ya ajali hiyo dreva wa fuso kakimbia baada ya kusababisha ajali hiyo
Mtoto Samwelli akisimulia jinsi ajali hiyo ilivyotokea kwani yeye alikuwa nyuma ya dereva  amesema yeye mkanda ndiyo uliomuokoa kwani mama aliyekuwa jirani yake hakufunga mkanda ameumia vibaya sana 
 Abilia akielezea jinsi ajari ilivyotokea
Badhi ya abilia waliokuwa kwenye basi hilo wakisubiri usafiri mwingine toka katika kampuni ya New Force
Baadhi ya mjeruhi hao wameruhusiwa baada ya kupata matibabu
Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufani ya Mbeya, Dk. Hamfrey Kiwelu, aliyesimama amesema wamepokea majeruhi 24 na kati ya hao 17 wameruhusiwa baada ya kupata matibabu na majeruhi 7 wamelazwa hospitalini hapo kuendelea na matibabu 


PICHA NA MBEYA YETU

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: