HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA BONDIA DOTO KIPENGA

Waumini wa dini ya Kislam wakiombea duwa jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu Doto Kipenga
Bondia wa timu ya Taifa Selemani Kidunda mbele akiwa amebeba jeneza lenye mwili wa marehemu Doto Kipenga aliyekuwa bondia wakati wa uhai wake kwa ajili ya maziko yaliyofanyika katika makabuli ya Kigogo Mburahati siku ya Januari Mosi

Bondia wa timu ya Taifa  ya Masumbwi Selemani Kidunda akiwaongoza wenzie kulibeba jeneza lenye mwili wa marehemu Doto Kipenga aliyekuwa bondia wakati wa uhai wake kwa ajili ya maziko yaliyofanyika katika makabuli ya Kigogo Mburahati siku ya Januari Mosi 
Bondia wa ngumi za kulipwaJ aphert Kaseba akiwaongoza wenzie kulibeba jeneza lenye mwili wa marehemu Doto Kipenga aliyekuwa bondia wakati wa uhai wake kwa ajili ya maziko yaliyofanyika katika makabuli ya Kigogo Mburahati siku ya Januar Mosi
Bondia wa ngumi za kulipwa Japhert Kaseba akiwaongoza wenzie kulibeba jeneza lenye mwili wa marehemu Doto Kipenga aliyekuwa bondia wakati wa uhai wake kwa ajili ya maziko yaliyofanyika katika makabuli ya Kigogo Mburahati siku ya Januari Mosi Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: