HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MH. LOWASSA AMEPATA AJALI LEO ASUBUHI

 
Gari la  Mh. Edward Lowassa likiwa limebonyea kwa ubavuni baada ya kupata ajali iliyotokea leo asubuhi.

Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa amenusurika kifo, baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kupata ajali eneo la Bwawani mkoani Morogoro.
Gari hilo la Mh. Lowassa liligongwa na basi la Morobest, wakati basi hilo lilipolipita basi jingine kwenye daraja na kukutana uso kwa uso na gari lakini dereva wa  Mh. Lowasa kwa ustadi mkubwa alilikwepesha gari lisigonge upande alipokuwa amekaa  mzee na kuligonga ubavuni nyuma kwa upande wa dereva na hakuna aliyejeruhiwa.

Lowassa na msafara wake aliendelea na safari hadi morogoro ambako ameshiriki katika harambee ya ujenzi wa kanisa la KKKT Kilakala.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: