HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » SHILINGI MIA MOJA YASABABISHA MTU KUPIGWA RISASI

  Frank Filias (25) akiwa amelazwa katika hospitali ya wilaya Temeke wodi namba saba baada ya kupigiwa risasi na mfanyabiashara mmoja wa mbao kufuatia ugomvi wa kudaiana Sh 100 ya maji ambayo mama yake mzazi, Sarah Mwaikatale alidaiwa na jirani yake kuwa alishindwa kumlipa.
 
Frank Filias (25) ni mkazi wa mtaa wa Tandika akiwa amelazwa hospitali ta Temeke baada kupigwa risasi kwenye paja mguu wake wakulia wakati wa ugonvi wa kudaiana sh. 100 ya maji
 
 PICHA NA CHRISTOPHER NYENYEMBE

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: